mimi
Monday, December 22, 2008
Shujaa Nyirenda, afariki Dunia akiwa na Umri wa miaka 72.
Shujaa, Nyirenda akiuweka mwenge wa Uhuru juu ya Kilele cha Mlima Kilimanjaro, enzi za uhai wake.
Wednesday, December 17, 2008
Mnara wa Mlimani TV
Mnara wa Mlimani TV iliyopo Makumbusho, Dar ambayo sasa ipo hewani kwa majaribio
Tuesday, December 16, 2008
mradi wa zao la mpunga
Ofis za mradi wa mpunga zilizopo bonde la ruvu wilayani bagamoyo, mradi huo umekufa baada ya wataalam wa kijapani kuondoka
daraja kuu la mto ruvu chini-bagamoyo
daraja kuu la mto ruvu chini, kijijini mtoni wilaya ya bagamoyo.barabara hii ni ya mkato kwenda tanga na arusha, kutokea msata.
Monday, December 15, 2008
Haya sasa ni zamu ya Gray Mgonja, katibu mkuu wa zamani wa Wizara ya Fedha, kizimbani leo.
Kumbe ule wimbo wa watoto "Kila mtu na zamu yake" una maana kubwa!
Musa Hassan "Mgosi" na kicheko cha ushujaa, akiwapa salamu wapenzi wa Taifa Stars leo mara baada ya kuwasili
Shujaa wa Stars, aliyewamalizia wa Sudan, Nurdin Bakari, mara baada ya kuwasili leo wakitokea Sudan.
Akhsante sana Maximo.
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)