Monday, January 10, 2011

Visit of US Public Affairs Officer to SJMC

Public Affairs Officer to the US Embassy Mr. Ilya Levin look The Hill Observer, Mlimani News paper when he pay a visit to the school of Journalism and Mass Communication today.

Thursday, January 6, 2011

JK ahudhuria Mazishi ya Waziri Mstaafu wa SMZ Salum Jum Othman

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiomba dua pamoja na Rais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein(wapili kushoto),Makamu wa kwanza wa Rais wa SMZ Seif Shariff Hamad(kushoto) pamoja na makamu wa pili wa Rasi wa SMZ Balozi Seif Iddi(kulia) wakati wa Mazishi ya Waziri mstaafu wa SMZ marehemu Salum Juma Othman yaliyofanyika huko Unguja, jana mchana.

prof. mbarawa visits TCRA

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Frequency Management Engineer Jumainne Ikuja (in white shirt) briefs the Minister for Communications, Science and Technology Prof Makame Mbarawa on operations of Spectrum Analysers.

Maandamano ya Chadema-Arusha

Viongozi wa Chadema wakiandamana kabda ya kukamatwa na Polisi hapo jana
Hayati John C Kayuza alikuwa Mwalimu wa Kiswahili TSJ mpaka IJMC alifariki tarehe 02/12/2010 saa 2:02 Asubuhi katika hospital ya Mama Ngoma Mwenge na kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni tarehe 04/12/2010.